16. wa Ido, Zekaria; wa Ginethoni, Meshulamu;
17. wa Abia, Zikri; wa Miyamini; wa Maazia, Piltai;
18. wa Bilgai, Shamua; wa Shemaya, Yehonathani;
19. wa Yoyaribu, Matenai; wa Yedaya, Uzi;
20. wa Salu, Kalai; wa Amoki, Eberi;
21. wa Hilkia, Hashabia; wa Yedaya, Nethaneli.
22. Walawi siku za Eliashibu, na Yoyada, na Yohana, na Yadua, wameandikwa wakuu wa mbari za mababa; tena na makuhani; hata siku za kumiliki kwake Dario, Mwajemi.