11. Yoyada akamzaa Yohana, Yohana akamzaa Yadua.
12. Na siku za Yoyakimu wakawako makuhani, wakuu wa mbari za mababa; wa Seraya, Meraya; wa Yeremia, Hanania;
13. wa Ezra, Meshulamu; wa Amaria, Yehohanani;
14. wa Maluki, Yonathani; wa Shekania, Yusufu;
15. wa Harimu, Adna; wa Meremothi, Helkai;
16. wa Ido, Zekaria; wa Ginethoni, Meshulamu;
17. wa Abia, Zikri; wa Miyamini; wa Maazia, Piltai;
18. wa Bilgai, Shamua; wa Shemaya, Yehonathani;
19. wa Yoyaribu, Matenai; wa Yedaya, Uzi;
20. wa Salu, Kalai; wa Amoki, Eberi;
21. wa Hilkia, Hashabia; wa Yedaya, Nethaneli.