11. Yoyada akamzaa Yohana, Yohana akamzaa Yadua.
12. Na siku za Yoyakimu wakawako makuhani, wakuu wa mbari za mababa; wa Seraya, Meraya; wa Yeremia, Hanania;
13. wa Ezra, Meshulamu; wa Amaria, Yehohanani;
14. wa Maluki, Yonathani; wa Shekania, Yusufu;
15. wa Harimu, Adna; wa Meremothi, Helkai;
16. wa Ido, Zekaria; wa Ginethoni, Meshulamu;