Neh. 12:10-17 Swahili Union Version (SUV)

10. Naye Yoshua akamzaa Yoyakimu, Yoyakimu akamzaa Eliashibu, Eliashibu akamzaa Yoyada,

11. Yoyada akamzaa Yohana, Yohana akamzaa Yadua.

12. Na siku za Yoyakimu wakawako makuhani, wakuu wa mbari za mababa; wa Seraya, Meraya; wa Yeremia, Hanania;

13. wa Ezra, Meshulamu; wa Amaria, Yehohanani;

14. wa Maluki, Yonathani; wa Shekania, Yusufu;

15. wa Harimu, Adna; wa Meremothi, Helkai;

16. wa Ido, Zekaria; wa Ginethoni, Meshulamu;

17. wa Abia, Zikri; wa Miyamini; wa Maazia, Piltai;

Neh. 12