Neh. 12:1-4 Swahili Union Version (SUV)

1. Basi, hawa ndio makuhani na Walawi waliopanda na Zerubabeli, mwana wa Shealueli, na Yoshua; Seraya, Yeremia, Ezra;

2. Amaria, Maluki, Hatushi;

3. Shekania, Harimu, Meremothi;

4. Ido, Ginethoni, Abia;

Neh. 12