Neh. 11:33-36 Swahili Union Version (SUV)

33. Hazori, Rama, Gitaimu;

34. Hadidi, Seboimu, Nebalati;

35. Lodi, na Ono, bonde la Wakarashi.

36. Na wa Walawi, wengine walikaa katika Yuda na wengine katika Benyamini.

Neh. 11