27. na Hazar-shuali, na Beer-sheba na vijiji vyake;
28. na katika Siklagi, na Mekona na vijiji vyake;
29. na katika Enrimoni, na Sora, na Yarmuthi;
30. Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, Lakishi na mashamba yake, Azeka na vijiji vyake. Hivyo wakatua toka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.
31. Wana wa Benyamini nao walikuwa wakikaa Geba, na Mikmashi, na Aiya, na Beth-eli na vijiji vyake;
32. Anathothi, Nobu, Anania;
33. Hazori, Rama, Gitaimu;
34. Hadidi, Seboimu, Nebalati;
35. Lodi, na Ono, bonde la Wakarashi.