26. na katika Yeshua, na Molada, na Beth-peleti;
27. na Hazar-shuali, na Beer-sheba na vijiji vyake;
28. na katika Siklagi, na Mekona na vijiji vyake;
29. na katika Enrimoni, na Sora, na Yarmuthi;
30. Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, Lakishi na mashamba yake, Azeka na vijiji vyake. Hivyo wakatua toka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.