Neh. 10:31 Swahili Union Version (SUV)

tena watu wa nchi wakitembeza biashara, au chakula cho chote, siku ya sabato, tusinunue kwao siku ya sabato, au siku takatifu; tena kwamba tuuache mwaka wa saba, na madai ya kila deni.

Neh. 10

Neh. 10:26-39