2. Seraya, Azaria, Yeremia;
3. Pashuri, Amaria, Malkiya;
4. Hamshi, Shekania, Maluki;
5. Harimu, Meremothi, Obadia;
6. Danieli, Ginethoni, Baruki;
7. Meshulamu, Abiya, Miyamini;
8. Maazia, Bilgai, Shemaya; hao ndio waliokuwa makuhani.
9. Na Walawi; ndio, Yeshua, mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli;
10. na ndugu zao, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani;
11. Mika, Rehobu, Hashabia;
12. Zakuri, Sherebia, Shebania;
13. Hodia, Bani, Beninu;
14. Na wakuu wa watu; Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani;