Neh. 10:1-9 Swahili Union Version (SUV)

1. Basi hawa ndio waliotia muhuri; Nehemia, ndiye Tirshatha, mwana wa Hakalia, na Sedekia;

2. Seraya, Azaria, Yeremia;

3. Pashuri, Amaria, Malkiya;

4. Hamshi, Shekania, Maluki;

5. Harimu, Meremothi, Obadia;

6. Danieli, Ginethoni, Baruki;

7. Meshulamu, Abiya, Miyamini;

8. Maazia, Bilgai, Shemaya; hao ndio waliokuwa makuhani.

9. Na Walawi; ndio, Yeshua, mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli;

Neh. 10