1. Basi hawa ndio waliotia muhuri; Nehemia, ndiye Tirshatha, mwana wa Hakalia, na Sedekia;
2. Seraya, Azaria, Yeremia;
3. Pashuri, Amaria, Malkiya;
4. Hamshi, Shekania, Maluki;
5. Harimu, Meremothi, Obadia;
6. Danieli, Ginethoni, Baruki;
7. Meshulamu, Abiya, Miyamini;
8. Maazia, Bilgai, Shemaya; hao ndio waliokuwa makuhani.
9. Na Walawi; ndio, Yeshua, mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli;