Mwa. 9:11 Swahili Union Version (SUV)

Na agano langu nitalithibitisha nanyi; wala kila chenye mwili hakitafutwa tena kwa maji ya gharika; wala hakutakuwa tena gharika, baada ya hayo, kuiharibu nchi.

Mwa. 9

Mwa. 9:8-21