Mwa. 6:7 Swahili Union Version (SUV)

BWANA akasema, Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi; mwanadamu na mnyama, na kitambaacho na ndege wa angani; kwa maana naghairi ya kwamba nimewafanya.

Mwa. 6

Mwa. 6:1-12