Mwa. 6:16 Swahili Union Version (SUV)

Uifanyie safina mwangaza, ukaumalize juu kiasi cha mkono mmoja; ukautie mlango wa safina katika ubavu wake; ukaifanyie dari tatu, ya chini, ya pili, na ya tatu.

Mwa. 6

Mwa. 6:12-22