Mwa. 50:24 Swahili Union Version (SUV)

Yusufu akawaambia nduguze, Mimi ninakufa, lakini Mungu atawajia ninyi bila shaka, atawapandisha toka nchi hii, mpaka nchi aliyowaapia Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo.

Mwa. 50

Mwa. 50:17-26