Mwa. 47:20 Swahili Union Version (SUV)

Basi Yusufu akamnunulia Farao nchi yote ya Misri; maana Wamisri waliuza kila mtu shamba lake; kwa sababu njaa ilikuwa imewazidi sana, nchi ikawa mali yake Farao.

Mwa. 47

Mwa. 47:10-30