Mwa. 47:17 Swahili Union Version (SUV)

Wakaleta wanyama wao kwa Yusufu; Yusufu akawapa chakula badala ya farasi, na badala ya kondoo, na badala ya ng’ombe, na badala ya punda, naye akawalisha chakula badala ya wanyama wao wote mwaka ule.

Mwa. 47

Mwa. 47:13-19