Mwa. 43:32 Swahili Union Version (SUV)

Wakamwandalia yeye peke yake, na wao peke yao, na wale Wamisri waliokula pamoja naye peke yao; maana Wamisri hawawezi kula pamoja na Waebrania, kwa kuwa ni chukizo kwa Wamisri.

Mwa. 43

Mwa. 43:29-34