Mwa. 43:29 Swahili Union Version (SUV)

Akainua macho yake, akamwona Benyamini, nduguye, mwana wa mamake, akasema, Huyu ndiye ndugu yenu mdogo, mliyeniambia habari zake? Akasema, Mungu akufadhili, mwanangu.

Mwa. 43

Mwa. 43:19-34