Mwa. 41:45 Swahili Union Version (SUV)

Farao akamwita Yusufu, Safenath-panea; akamwoza Asenathi, binti Potifera, kuhani wa Oni, kuwa mkewe Yusufu akaenda huko na huko katika nchi yote ya Misri.

Mwa. 41

Mwa. 41:43-52