Mwa. 40:13 Swahili Union Version (SUV)

Baada ya siku tatu Farao atakiinua kichwa chako, atakurudisha katika kazi yako; nawe utampa Farao kikombe mkononi mwake, kama desturi ya kwanza, ulipokuwa mnyweshaji wake.

Mwa. 40

Mwa. 40:7-15