Mwa. 39:14 Swahili Union Version (SUV)

akawaita watu wa nyumbani mwake, akasema nao, akinena, Angalieni, ametuletea mtu Mwebrania atufanyie dhihaka. Ameingia kwangu, ili alale nami, nikalia kwa sauti kuu.

Mwa. 39

Mwa. 39:8-17