Mwa. 33:10 Swahili Union Version (SUV)

Yakobo akasema, Sivyo; kama nimekubalika machoni pako tafadhali upokee zawadi yangu mkononi mwangu, iwapo nimeona uso wako kama kuona uso wa Mungu, ukapendezwa nami.

Mwa. 33

Mwa. 33:4-20