Mwa. 31:10 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa, wakati wale wanyama walipochukua mimba, naliinua macho yangu nikaona katika ndoto, na tazama, mabeberu waliowapanda hao wanyama walikuwa na milia, na madoadoa, na marakaraka.

Mwa. 31

Mwa. 31:2-19