Mwa. 30:16 Swahili Union Version (SUV)

Yakobo akaja kutoka kondeni jioni, Lea akatoka kumlaki, akasema, Lazima uje kwangu, kwa sababu nimekuajiri, kwa tunguja za mwanangu; akalala kwake usiku ule.

Mwa. 30

Mwa. 30:10-18