Mwa. 29:34 Swahili Union Version (SUV)

Akapata mimba tena, akazaa mwana, akasema, Basi wakati huu mume wangu ataungana nami, kwa sababu nimemzalia wana watatu. Kwa hiyo akamwita jina lake Lawi.

Mwa. 29

Mwa. 29:30-35