Mwa. 29:13 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa Labani aliposikia habari za Yakobo, mwana wa nduguye, akaenda mbio amlaki, akamkumbatia, akambusu, akamleta nyumbani kwake. Naye akamwambia Labani maneno hayo yote.

Mwa. 29

Mwa. 29:3-14