Mwa. 27:45 Swahili Union Version (SUV)

hata ikuondokee ghadhabu ya ndugu yako, akasahau uliyomtenda. Ndipo nitakapopeleka watu kukuchukua kutoka huko. Kwa nini nifiwe nanyi nyote wawili siku moja?

Mwa. 27

Mwa. 27:43-46