Mwa. 24:65 Swahili Union Version (SUV)

Akamwambia mtumishi, Ni nani mtu huyu ajaye kondeni kutulaki? Mtumishi akasema, Huyu ndiye bwana wangu. Basi akatwaa shela yake akajifunika.

Mwa. 24

Mwa. 24:63-67