Mwa. 24:32 Swahili Union Version (SUV)

Na mtu yule akaingia katika nyumba, akawafungua ngamia; naye akatoa majani na malisho kwa ngamia, na maji ya kuoshea miguu yake, na miguu ya watu waliokuwa pamoja naye.

Mwa. 24

Mwa. 24:27-39