Mwa. 23:16 Swahili Union Version (SUV)

Ibrahimu akakubali maneno ya Efroni. Ibrahimu akampimia Efroni ile fedha aliyotaja masikioni mwa wazawa wa Hethi, shekeli za fedha mia nne za namna inayotumika na wenye biashara.

Mwa. 23

Mwa. 23:10-18