Mwa. 20:13 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa hapo Mungu aliponisafirisha kutoka nyumba ya baba yangu, nikamwambia, Hii ndiyo fadhili yako, utakayonifanyia. Kila mahali tuingiapo, useme, Huyu ni ndugu yangu.

Mwa. 20

Mwa. 20:10-18