Mwa. 2:9 Swahili Union Version (SUV)

BWANA Mungu akachipusha katika ardhi kila mti unaotamanika kwa macho na kufaa kwa kuliwa; na mti wa uzima katikati ya bustani, na mti wa ujuzi wa mema na mabaya.

Mwa. 2

Mwa. 2:8-17