Mwa. 19:1 Swahili Union Version (SUV)

Basi, wale malaika wawili wakaja Sodoma jioni; na Lutu alikuwa amekaa mlangoni pa Sodoma. Lutu akawaona akaondoka akaenda kuwalaki, akainama kifudifudi.

Mwa. 19

Mwa. 19:1-2