Mwa. 18:2 Swahili Union Version (SUV)

Akainua macho yake akaona, na tazama, watu watatu wamesimama mbele yake. Naye alipowaona alipiga mbio kuwalaki kutoka mlangoni pa hema, akainama mpaka nchi,

Mwa. 18

Mwa. 18:1-10