Mwa. 17:1 Swahili Union Version (SUV)

Abramu alipokuwa mtu wa miaka tisini na kenda, BWANA akamtokea Abramu, akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uende mbele yangu, ukawe mkamilifu.

Mwa. 17

Mwa. 17:1-4