Mwa. 14:8 Swahili Union Version (SUV)

Mfalme wa Sodoma, na mfalme wa Gomora, na mfalme wa Adma, na mfalme wa Seboimu, na mfalme wa Bela, ndio Soari, wakatoka wakapanga vita panapo bonde la Sidimu;

Mwa. 14

Mwa. 14:6-14