Mt. 4:11-13 Swahili Union Version (SUV)

11. Kisha Ibilisi akamwacha; na tazama, wakaja malaika wakamtumikia.

12. Basi Yesu aliposikia ya kwamba Yohana amefungwa, alikwenda zake mpaka Galilaya;

13. akatoka Nazareti, akaja akakaa Kapernaumu, mji ulioko pwani, mipakani mwa Zabuloni na Naftali;

Mt. 4