Mt. 27:48-52 Swahili Union Version (SUV)

48. Mara mmoja wao akaenda mbio, akatwaa sifongo, akaijaza siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha.

49. Wale wengine wakasema, Acha; na tuone kama Eliya anakuja kumwokoa.

50. Naye Yesu akiisha kupaza sauti tena kwa nguvu, akaitoa roho yake.

51. Na tazama, pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu hata chini; nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka;

52. makaburi yakafunuka; ikainuka miili mingi ya watakatifu waliolala;

Mt. 27