41. Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni; roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu.
42. Akaenda tena mara ya pili, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwa haiwezekani kikombe hiki kiniepuke nisipokunywa, mapenzi yako yatimizwe.
43. Akaja tena, akawakuta wamelala; maana macho yao yamekuwa mazito.
44. Akawaacha tena, akaenda, akaomba mara ya tatu, akisema maneno yale yale.