Mt. 25:2-5 Swahili Union Version (SUV)

2. Watano wao walikuwa wapumbavu, na watano wenye busara.

3. Wale waliokuwa wapumbavu walizitwaa taa zao, wasitwae na mafuta pamoja nao;

4. bali wale wenye busara walitwaa mafuta katika vyombo vyao pamoja na taa zao.

5. Hata bwana arusi alipokawia, wote wakasinzia wakalala usingizi.

Mt. 25