15. Basi hapo mtakapoliona chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli, limesimama katika patakatifu (asomaye na afahamu),
16. ndipo walio katika Uyahudi na wakimbilie milimani;
17. naye aliye juu ya dari asishuke kuvichukua vitu vilivyomo nyumbani mwake;