Mt. 24:15-17 Swahili Union Version (SUV)

15. Basi hapo mtakapoliona chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli, limesimama katika patakatifu (asomaye na afahamu),

16. ndipo walio katika Uyahudi na wakimbilie milimani;

17. naye aliye juu ya dari asishuke kuvichukua vitu vilivyomo nyumbani mwake;

Mt. 24