Mt. 23:8-11 Swahili Union Version (SUV)

8. Bali ninyi msiitwe Rabi, maana mwalimu wenu ni mmoja, nanyi nyote ni ndugu.

9. Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.

10. Wala msiitwe viongozi; maana kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo.

11. Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu.

Mt. 23