8. Bali ninyi msiitwe Rabi, maana mwalimu wenu ni mmoja, nanyi nyote ni ndugu.
9. Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.
10. Wala msiitwe viongozi; maana kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo.
11. Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu.