Mt. 2:21-23 Swahili Union Version (SUV)

21. Akaondoka akamchukua mtoto na mamaye, akafika nchi ya Israeli.

22. Lakini aliposikia ya kwamba Arkelao anamiliki huko Uyahudi mahali pa Herode babaye, aliogopa kwenda huko; naye akiisha kuonywa katika ndoto, akasafiri pande za Galilaya,

23. akaenda, akakaa katika mji ulioitwa Nazareti; ili litimie neno lililonenwa na manabii, Ataitwa Mnazorayo.

Mt. 2