Mk. 6:17 Swahili Union Version (SUV)

Kwa maana Herode mwenyewe alikuwa ametuma watu, akamkamata Yohana, akamfunga gerezani, kwa ajili ya Herodia, mkewe Filipo ndugu yake, kwa kuwa amemwoa;

Mk. 6

Mk. 6:14-25