Mk. 5:4 Swahili Union Version (SUV)

kwa sababu alikuwa amefungwa mara nyingi kwa pingu na minyororo, akaikata ile minyororo, na kuzivunja-vunja zile pingu; wala hakuna mtu aliyekuwa na nguvu za kumshinda.

Mk. 5

Mk. 5:1-6