Mk. 2:26 Swahili Union Version (SUV)

Jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu, zamani za kuhani mkuu Abiathari, akaila mikate ile ya Wonyesho, ambayo si halali kuliwa ila na makuhani, akawapa na wenziwe?

Mk. 2

Mk. 2:16-28