Mk. 2:12 Swahili Union Version (SUV)

Mara akaondoka, akajitwika godoro lake, akatoka mbele yao wote; hata wakastaajabu wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, Namna hii hatujapata kuiona kamwe.

Mk. 2

Mk. 2:3-17