Mk. 13:6-8 Swahili Union Version (SUV)

6. Wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ndiye, nao watadanganya wengi.

7. Nanyi mtakaposikia habari za vita na uvumi wa vita, msitishwe; hayo hayana budi kutukia, lakini ule mwisho bado.

8. Kwa maana taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme; kutakuwa na matetemeko ya nchi mahali mahali; kutakuwako na njaa; hayo ndiyo mwanzo wa utungu.

Mk. 13