Mk. 13:11 Swahili Union Version (SUV)

Na watakapowachukua ninyi, na kuwasaliti, msitafakari kwanza mtakayosema, lakini lo lote mtakalopewa saa ile, lisemeni; kwa maana si ninyi msemao, bali ni Roho Mtakatifu.

Mk. 13

Mk. 13:7-12